Ads 468x60px

Monday, September 10, 2012

HUU NDO USHAHIDI WA VIDEO UNAOONESHA JINSI DAUD MWANGOSI ALIVYOUAWA

 

Hivi ndivyo vurugu zilivyoanza katika Kata ya Nyororo Wilayani Mafinga, Mkoani Iringa tarehe 02/09/2012.

Vurugu hizi baina ya Polisi na Wanachama wa CHADEMA zilisababisha kifo cha Mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi aliyelipuliwa na bomu na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia baada ya kipigo kikali toka kwa askari zaidi ya sita.

0 comments:

Post a Comment