ATIMAE MKOA MPYA WA NJOMBE WAUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA NA KUUNDA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KINACHOITWA NJOMBE MEDIA CLUB(NMC) NA KUTOA TAMKO LA KUTOSHIRIKIANA NA POLISI KTK UTENDAJI WA KAZI KUTOKANA NA KIFO CHA MWANGOSI.
MKURUGENZI DARAJA YENYE MRADI WA GAZETI LA KWANZA JAMII BRANA Simon Mkina
Akielezea faida za kuwepo kwa chama cha waandishi wa habari ambacho kwa njombe kinaitwa NJOMBE MEDIA CLUB(NMC)
wanahabari wakiwa kwenye kikao kujadili juu ya uanzishwaji wa NJOMBE MEDIA CLUB [NMC] LEO.
Uplands Radio Inatangaza Nafasi za kazi..Mbili za watangazaji kwa jinsia zote,Sifa za Muombaji awe na umri wa miaka 20 na kuendelea awe na elimu ya utangazaji ya cheti,Deploma,degree,Master N.K na nafasi moja ya Utawala..
Sifa za Muombaji awe na miaka 25 nakuendelea,awe na elimu ya utawala ya cheti,Deploma,degree,Master N.K Awe na Uzoefu usiopungua Mwaka mmoja.
Maombi Yatumwe Uplands radio S.L.P 610 Njombe au kupitia tovuti:
0 comments:
Post a Comment