Monday, September 10, 2012
HUU NDO USHAHIDI WA VIDEO UNAOONESHA JINSI DAUD MWANGOSI ALIVYOUAWA
Hivi ndivyo vurugu zilivyoanza katika Kata ya Nyororo Wilayani Mafinga, Mkoani Iringa tarehe 02/09/2012.
Vurugu hizi baina ya Polisi na Wanachama wa CHADEMA zilisababisha kifo cha Mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi aliyelipuliwa na bomu na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia baada ya kipigo kikali toka kwa askari zaidi ya sita.
Labels:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment